Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:37 - Swahili Revised Union Version

Akajibu, akasema, Azipandaye zile mbegu njema ni Mwana wa Adamu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawaambia, “Mpanzi wa zile mbegu nzuri ni Mwana wa Mtu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawaambia, “Mpanzi wa zile mbegu nzuri ni Mwana wa Mtu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawaambia, “Mpanzi wa zile mbegu nzuri ni Mwana wa Mtu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akajibu, akasema, Azipandaye zile mbegu njema ni Mwana wa Adamu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:37
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ngano ya mkate husagwa; kwa maana haipuri siku zote bila kukoma; na ingawa gurudumu la gari lake na farasi wake huitawanya ngano ile, haisagi.


Awapokeaye ninyi, anipokea mimi; naye anipokeaye mimi, ampokea yeye aliyenituma.


Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika shamba lake;


Watumwa wa mwenye nyumba wakaenda wakamwambia, Bwana, hukupanda mbegu njema katika shamba lako? Limepata wapi basi magugu?


Na alipokuwa akipanda, mbegu nyingine zilianguka karibu na njia, ndege wakaja wakazila;


Mwana wa Adamu atawatuma malaika wake, nao watakusanya kutoka katika ufalme wake machukizo yote, na hao watendao maasi,


Yesu akamwambia, Mbweha wana pango, na ndege wa angani wana viota; lakini Mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake.


Awasikilizaye ninyi anisikiliza mimi, naye awakataaye ninyi anikataa mimi; naye anikataaye mimi amkataa yeye aliyenituma.


Amin, amin, nawaambieni, Yeye ampokeaye mtu yeyote nimtumaye, anipokea mimi; naye anipokeaye mimi; ampokea yeye aliyenituma.


Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawatuma ninyi.


Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na kote katika Yudea, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.


Maana sitathubutu kutaja neno asilolitenda Kristo kwa kazi yangu, Mataifa wapate kutii, kwa neno au kwa tendo,


Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,


sisi je! Tutapataje kupona, tukipuuza wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliomsikia;