Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 12:3 - Swahili Revised Union Version

Akawaambia, Hamkusoma alivyotenda Daudi, alipokuwa na njaa, yeye na wenziwe?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akawajibu, “Je, hamjasoma alichofanya Daudi na wenzake walipokuwa na njaa?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawajibu, “Je, hamjasoma alichofanya Daudi na wenzake walipokuwa na njaa?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaambia, Hamkusoma alivyotenda Daudi, alipokuwa na njaa, yeye na wenziwe?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 12:3
13 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Musa aliposikia hayo, akaridhika.


Na Mafarisayo walipoona, walimwambia, Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo ambalo si halali kulifanya siku ya sabato.


Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, akaila mikate ile ya wonyesho, ambayo si halali kwake kuila wala kwa wale wenziwe, ila kwa makuhani peke yao?


Wala hamkusoma katika torati, kwamba siku ya sabato makuhani hekaluni huinajisi sabato pasipo kupata hatia?


Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mwanamume na mwanamke,


wakamwambia, Wasikia hawa wasemavyo? Yesu akawaambia, Naam; hamkupata kusoma, Kwa vinywa vya watoto wachanga na wanyonyao umejiandalia sifa?


Tena kuhusu kiyama ya wafu, hamjalisoma neno lililonenwa na Mungu, akisema,


Hata andiko hili hamjalisoma, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.


Na kuhusu wafu ya kwamba wafufuliwa, hamjasoma katika kitabu cha Musa, Kuhusu kile kichaka jinsi Mungu alivyomwambia, akisema, Mimi ni Mungu wa Abrahamu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo?


Akamwambia, Imeandikwa nini katika torati? Wasomaje?


Yesu akawajibu akawaambia, Hamkulisoma hata hilo alilolifanya Daudi, alipokuwa na njaa, yeye na wale aliokuwa nao?