Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 10:26 - Swahili Revised Union Version

26 Akamwambia, Imeandikwa nini katika torati? Wasomaje?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Yeye akamwuliza, “Imeandikwa nini katika sheria? Unaelewaje?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Yeye akamwuliza, “Imeandikwa nini katika sheria? Unaelewaje?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Yeye akamwuliza, “Imeandikwa nini katika sheria? Unaelewaje?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Isa akamjibu, “Imeandikwaje katika Torati? Kwani unasoma nini humo?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Isa akamjibu, “Imeandikwaje katika Torati? Kwani unasoma nini humo?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Akamwambia, Imeandikwa nini katika torati? Wasomaje?

Tazama sura Nakili




Luka 10:26
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.


Na tazama, mwanasheria mmoja alisimama amjaribu; akisema, Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?


Akajibu akasema, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako.


Kwa maana Musa aliandika juu ya haki itokayo kwa sheria, ya kuwa, Mtu afanyaye hiyo ataishi kwa hiyo.


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo