Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 12:16 - Swahili Revised Union Version

akawakataza wasimdhihirishe;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

akawaamuru wasiwaambie watu habari zake,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

akawaamuru wasiwaambie watu habari zake,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

akawaamuru wasiwaambie watu habari zake,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

akiwakataza wasiseme yeye ni nani,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

akiwakataza wasiseme yeye ni nani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akawakataza wasimdhihirishe;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 12:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

ili litimie neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema,


Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu aliwaagiza, akasema, Msimwambie mtu yeyote habari ya maono hayo, hadi Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu.


Yesu akamwambia, Angalia, usimwambie mtu; ila nenda zako, ukajioneshe kwa kuhani, ukaitoe sadaka kama alivyoamuru Musa, iwe ushuhuda kwao.


Macho yao yakafumbuka. Naye Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema, Angalieni hata mtu mmoja asijue.


Naye Yesu akajitenga, yeye na wanafunzi wake, akaenda baharini. Mkutano mkuu ukamfuata, kutoka Galilaya, na Yudea,


Akawaonya wasimwambie mtu; lakini kadiri ya alivyozidi kuwaagiza, ndivyo walivyozidi kutangaza habari;