Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 11:9 - Swahili Revised Union Version

Lakini kwa nini mlitoka? Ni kuona nabii? Naam, nawaambia, na aliye mkuu zaidi ya nabii.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini, mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini, mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini, mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi mlienda kuona nini? Mlienda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini kwa nini mlitoka? Ni kuona nabii? Naam, nawaambia, na aliye mkuu zaidi ya nabii.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 11:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mlitoka kwenda kuona nini? Mtu aliyevikwa mavazi mororo? Tazama, watu wavaao mavazi mororo wamo katika nyumba za wafalme.


Naye alipotaka kumwua, aliwaogopa watu, maana walimwona Yohana kuwa nabii.


Nawe, mtoto, utaitwa nabii wake Aliye Juu, Kwa maana utatangulia mbele za uso wa Bwana umtengenezee njia zake;


Na tukisema ulitoka kwa wanadamu, watu wote watatupiga kwa mawe, kwa kuwa wamemkubali Yohana kuwa ni nabii.