Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 11:9 - Swahili Revised Union Version

9 Lakini kwa nini mlitoka? Ni kuona nabii? Naam, nawaambia, na aliye mkuu zaidi ya nabii.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Lakini, mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Lakini, mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Lakini, mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Basi mlienda kuona nini? Mlienda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Basi mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Lakini kwa nini mlitoka? Ni kuona nabii? Naam, nawaambia, na aliye mkuu zaidi ya nabii.

Tazama sura Nakili




Mathayo 11:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mlitoka kwenda kuona nini? Mtu aliyevikwa mavazi mororo? Tazama, watu wavaao mavazi mororo wamo katika nyumba za wafalme.


Naye alipotaka kumwua, aliwaogopa watu, maana walimwona Yohana kuwa nabii.


Nawe, mtoto, utaitwa nabii wake Aliye Juu, Kwa maana utatangulia mbele za uso wa Bwana umtengenezee njia zake;


Na tukisema ulitoka kwa wanadamu, watu wote watatupiga kwa mawe, kwa kuwa wamemkubali Yohana kuwa ni nabii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo