Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 11:6 - Swahili Revised Union Version

Naye heri awaye yote asiyechukizwa nami.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye heri awaye yote asiyechukizwa nami.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 11:6
26 Marejeleo ya Msalaba  

Heri walio kamili njia zao, Waendao katika sheria ya BWANA.


lakini hana mizizi ndani yake, bali hudumu kwa muda; ikitukia dhiki au udhia kwa ajili ya lile neno, mara huchukizwa.


Ole ni wa ulimwengu kwa sababu ya mambo ya kukosesha! Maana hayana budi kuja mambo ya kukosesha; lakini ole wake mtu yule aliletaye jambo la kukosesha!


Ndipo wengi watakapojikwaa, nao watasalitiana, na kuchukiana.


Ndipo Yesu akawaambia, Ninyi nyote mtachukizwa kwa ajili yangu usiku huu kwa kuwa imeandikwa, Nitampiga mchungaji, na kondoo wa kundi watatawanyika.


Jicho lako la kulia likikukosesha, ling'oe ulitupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee kuliko mwili wako wote utupwe katika Jehanamu.


Huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu, na ndugu yao Yakobo, na Yose, na Yuda, na Simoni? Na dada zake hawapo hapa petu? Wakajikwaa kwake.


Simeoni akawabariki, akamwambia Mariamu mama yake, Tazama, huyu amewekwa kwa kuanguka na kuinuka wengi walio katika Israeli, na kuwa ishara itakayonenewa.


Naye heri mtu yeyote asiyechukizwa nami.


Maneno hayo nimewaambia, msije mkakwazwa.


Kwa ajili ya hayo wengi miongoni mwa wanafunzi wake wakarejea nyuma, wasiandamane naye tena.


Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.


Nami, ndugu zangu ikiwa ninahubiri habari ya kutahiriwa, kwa nini ningali ninaudhiwa? Kwa kufanya hivyo kikwazo cha msalaba kimeondolewa!


Tena, Jiwe la kujikwaza mguu, na mwamba wa kuangusha. Kwa maana hujikwaza kwa neno lile, wasiliamini, nao waliwekwa kusudi wapate hayo.