Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 7:23 - Swahili Revised Union Version

23 Naye heri mtu yeyote asiyechukizwa nami.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Naye heri mtu yeyote asiyechukizwa nami.

Tazama sura Nakili




Luka 7:23
11 Marejeleo ya Msalaba  

Naye heri awaye yote asiyechukizwa nami.


Simeoni akawabariki, akamwambia Mariamu mama yake, Tazama, huyu amewekwa kwa kuanguka na kuinuka wengi walio katika Israeli, na kuwa ishara itakayonenewa.


Ndipo alipojibu, akawaambia, Nendeni mkamweleze Yohana hayo mliyoyaona na kuyasikia; vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, maskini wanahubiriwa Habari Njema.


Basi, wajumbe wa Yohana walipokwisha ondoka, alianza kuwaambia makutano habari za Yohana, Mlitoka kwenda nyikani kutazama nini? Unyasi ukitikiswa na upepo?


Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo