Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 11:13 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana manabii wote na Torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mafundisho yote ya manabii na sheria mpaka wakati wa Yohane yalibashiri juu ya nyakati hizi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mafundisho yote ya manabii na sheria mpaka wakati wa Yohane yalibashiri juu ya nyakati hizi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mafundisho yote ya manabii na sheria mpaka wakati wa Yohane yalibashiri juu ya nyakati hizi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana manabii wote na Torati walitabiri hadi wakati wa Yahya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana manabii wote na Torati walitabiri mpaka wakati wa Yahya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana manabii wote na Torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 11:13
10 Marejeleo ya Msalaba  

Naye ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee baba zao, ili nisije nikaipiga dunia kwa laana.


Tangu siku za Yohana Mbatizaji hata sasa ufalme wa mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu huuteka.


Na ikiwa mnataka kukubali, yeye ndiye Eliya atakayekuja.


Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe.


Kisha akawaambia, Hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa ningali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika vitabu vya Manabii na Zaburi.


Kwa maana wakaao Yerusalemu, na wakuu wao, kwa kuwa hawakumjua yeye, wala maneno ya manabii yanayosomwa kila sabato, wameyatimiza kwa kumhukumu.


Lakini sasa, haki ya Mungu imedhihirika pasipo sheria; inashuhudiwa na Torati na Manabii;