Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 5:23 - Swahili Revised Union Version

wakisema, Gereza tumeikuta imefungwa salama, nao walinzi wamesimama mbele ya mlango; lakini tulipoufungua hatukukuta mtu ndani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wakisema, “Tulikuta gereza limefungwa kila upande na walinzi wakilinda milango. Lakini tulipofungua hatukumkuta mtu yeyote ndani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wakisema, “Tulikuta gereza limefungwa kila upande na walinzi wakilinda milango. Lakini tulipofungua hatukumkuta mtu yeyote ndani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wakisema, “Tulikuta gereza limefungwa kila upande na walinzi wakilinda milango. Lakini tulipofungua hatukumkuta mtu yeyote ndani.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakasema, “Tumekuta milango ya gereza imefungwa sawasawa na askari wa gereza wamesimama nje ya mlango, lakini tulipofungua milango hakuwepo mtu yeyote.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakasema, “Tumekuta milango ya gereza imefungwa sawasawa na askari wa gereza wamesimama nje ya mlango, lakini tulipofungua milango hakuwepo mtu yeyote ndani.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakisema, Gereza tumeikuta imefungwa salama, nao walinzi wamesimama mbele ya mlango; lakini tulipoufungua hatukukuta mtu ndani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 5:23
13 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye aketiye mbinguni anacheka, Bwana anawafanyia dhihaka.


BWANA huyabatilisha mashauri ya mataifa, Huitangua mipango ya watu.


Hapana hekima, wala ufahamu, Wala shauri, juu ya BWANA.


Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza?


Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.


lakini malaika wa Bwana akafungua milango ya gereza usiku, akawatoa, akasema,


Wakati watumishi walipofika hawakuwaona gerezani, wakarudi wakatoa habari,


Basi mlinzi mkuu wa hekalu na wakuu wa makuhani waliposikia haya, wakaingiwa na shaka kwa ajili yao, litakuwaje jambo hilo.