Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 23:4 - Swahili Revised Union Version

Wale waliosimama karibu wakasema, Je! Unamtukana Kuhani Mkuu wa Mungu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia Paulo, “Unamtukana kuhani mkuu wa Mungu!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia Paulo, “Unamtukana kuhani mkuu wa Mungu!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia Paulo, “Unamtukana kuhani mkuu wa Mungu!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale watu waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wakamwambia, “Je, wewe wathubutu kumtukana kuhani mkuu wa Mungu?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale watu waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wakamwambia, “Je, wewe wathubutu kumtukana kuhani mkuu wa Mungu?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wale waliosimama karibu wakasema, Je! Unamtukana Kuhani Mkuu wa Mungu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 23:4
3 Marejeleo ya Msalaba  

Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu.


Ndipo Paulo akamwambia, Mungu atakupiga wewe, ukuta uliopakwa chokaa. Wewe umeketi kunihukumu kulingana na sheria, nawe unaamuru nipigwe kinyume cha sheria?


Paulo akasema, Sikujua, ndugu zangu, ya kuwa yeye ni Kuhani Mkuu; maana imeandikwa, Usimnenee mabaya mkuu wa watu wako.