Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 22:9 - Swahili Revised Union Version

Na wale waliokuwa pamoja nami waliiona ile nuru, lakini hawakuisikia ile sauti ya yule aliyesema nami.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wale wenzangu waliuona ule mwanga lakini hawakusikia sauti ya yule aliyeongea nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wale wenzangu waliuona ule mwanga lakini hawakusikia sauti ya yule aliyeongea nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wale wenzangu waliuona ule mwanga lakini hawakusikia sauti ya yule aliyeongea nami.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi wale watu waliokuwa pamoja nami waliiona ile nuru, lakini hawakuisikia sauti ya yule aliyekuwa akisema nami.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi wale watu waliokuwa pamoja nami waliiona ile nuru, lakini hawakuisikia sauti ya yule aliyekuwa akisema nami.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wale waliokuwa pamoja nami waliiona ile nuru, lakini hawakuisikia ile sauti ya yule aliyesema nami.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 22:9
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nami, Danieli, nikaona maono haya peke yangu; maana wale watu waliokuwa pamoja nami hawakuyaona maono haya; lakini tetemeko kuu liliwashika, hata wakakimbia ili kujificha.


Ee Mfalme, ndipo wakati wa adhuhuri njiani niliona nuru inatoka mbinguni ipitayo mwangaza wa jua, ikinimulikia mimi, na wale waliofuatana nami pande zote.


Na wale watu waliosafiri pamoja naye wakasimama kimya, waliisikia sauti, lakini hawakuona mtu.