Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 2:8 - Swahili Revised Union Version

Imekuwaje basi sisi kusikia kila mtu lugha yetu tuliyozaliwa nayo?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Imekuwaje, basi, kwamba kila mmoja wetu anawasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Imekuwaje, basi, kwamba kila mmoja wetu anawasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Imekuwaje, basi, kwamba kila mmoja wetu anawasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Imekuwaje basi kila mmoja wetu anawasikia wakinena kwa lugha yake ya kuzaliwa?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Imekuwaje basi kila mmoja wetu anawasikia wakinena kwa lugha yake ya kuzaliwa?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Imekuwaje basi sisi kusikia kila mtu lugha yetu tuliyozaliwa nayo?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 2:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ili kuwajulisha watu matendo yake makuu, Na utukufu wa fahari ya ufalme wake.


Na Zakaria, baba yake, akajazwa Roho Mtakatifu, akatabiri, akisema,


Wakashangaa wote, wakastaajabu wakiambiana, Tazama, hawa wote wasemao si Wagalilaya?


Waparthi na Wamedi na Waelami, nao wakaao Mesopotamia, Yudea na Kapadokia, Ponto na Asia,


Na Mungu ameweka wengine katika kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa, aina za usaidizi, maongozi na aina za lugha.