Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 2:15 - Swahili Revised Union Version

Sivyo mnavyodhani; watu hawa hawakulewa, kwa maana ni saa tatu ya mchana;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakika watu hawa hawajalewa kama mnavyodhania, kwa kuwa sasa ni saa tatu asubuhi!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakika watu hawa hawakulewa kama mnavyodhania, kwa kuwa sasa ni saa tatu asubuhi!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sivyo mnavyodhani; watu hawa hawakulewa, kwa maana ni saa tatu ya mchana;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 2:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akatoka mnamo saa tatu, akaona wengine wamesimama sokoni wasiokuwa na kazi;


akamwambia, Kila mtu kwanza huandaa divai iliyo njema; na watu wakiisha kunywa sana ndipo huleta iliyo dhaifu; wewe umeiweka divai iliyo njema hata sasa.


lakini jambo hili ni lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yoeli,


Hana akajibu, akasema, Hasha! Bwana wangu, mimi ni mwanamke mwenye roho ya huzuni, mimi sikunywa divai wala kileo, ila nimeimimina roho yangu mbele za BWANA.