Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 17:8 - Swahili Revised Union Version

Wakafadhaisha ule mkutano na wakubwa wa mji walipoyasikia hayo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa maneno hayo waliwatia wasiwasi wakuu wa mji na kundi la watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa maneno hayo waliwatia wasiwasi wakuu wa mji na kundi la watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa maneno hayo waliwatia wasiwasi wakuu wa mji na kundi la watu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Waliposikia haya, umati ule wa watu na maafisa wa mji wakaongeza ghasia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Waliposikia haya, ule umati wa watu na maafisa wa mji wakaongeza ghasia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakafadhaisha ule mkutano na wakubwa wa mji walipoyasikia hayo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 17:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yerusalemu pia pamoja naye.


Na watakapowapeleka ninyi mbele ya masinagogi na watawala na wenye mamlaka, msifadhaike kwa kuwaza maneno yenu jinsi mtakavyojibu au kusema;


Tukimwacha hivi, watu wote watamwamini; na Warumi watakuja, watatuondolea mahali petu na taifa letu.


na Yasoni amewakaribisha; na hawa wote wanatenda mambo yaliyo kinyume cha amri za Kaisari, wakisema na kusema yupo mfalme mwingine, aitwaye Yesu.


Nao walipokwisha kumtoza dhamana Yasoni na wenziwe wakawaacha waende zao.