Lakini miaka mingi ukachukuliana nao, nawe ukawashuhudia kwa roho yako kwa vinywa vya manabii wako; wao wasitake kusikiliza; kwa hiyo ukawatia katika mikono ya watu wa nchi.
Matendo 13:18 - Swahili Revised Union Version Na kwa muda wa miaka kama arubaini akawavumilia katika jangwa. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Aliwavumilia kwa muda wa miaka arubaini kule jangwani. Biblia Habari Njema - BHND Aliwavumilia kwa muda wa miaka arubaini kule jangwani. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Aliwavumilia kwa muda wa miaka arubaini kule jangwani. Neno: Bibilia Takatifu Kwa muda wa miaka arobaini alivumilia matendo yao walipokuwa jangwani. Neno: Maandiko Matakatifu Kwa muda wa miaka arobaini alivumilia matendo yao walipokuwa jangwani. BIBLIA KISWAHILI Na kwa muda wa miaka kama arobaini akawavumilia katika jangwa. |
Lakini miaka mingi ukachukuliana nao, nawe ukawashuhudia kwa roho yako kwa vinywa vya manabii wako; wao wasitake kusikiliza; kwa hiyo ukawatia katika mikono ya watu wa nchi.
Na wana wa Israeli walikula Mana muda wa miaka arubaini, hata walipofikia nchi iliyo na watu, wakala ile Mana, hata walipofikia mipakani mwa nchi ya Kanaani.
kwa sababu watu hawa wote, ambao wameuona utukufu wangu na ishara zangu, nilizozitenda huko Misri, na huko jangwani, pamoja na haya wamenijaribu mara hizi kumi, wala hawakuisikiza sauti yangu;
Huyo ndiye aliyewatoa, akifanya ajabu na ishara katika nchi ya Misri, na katika Bahari ya Shamu, na katika jangwa muda wa miaka arubaini.
na huko jangwani, ulipoona alivyokuchukua BWANA, Mungu wako, kama mtu amchukuavyo mwanawe, njia yote mliyoiendea, hata mkafika mahali hapa.
Kumbuka, usisahau ulivyomtia BWANA, Mungu wako, kasirani jangwani; tangu siku uliyotoka nchi ya Misri hadi mlipofika mahali hapa, mmekuwa na uasi juu ya BWANA