Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 9:21 - Swahili Revised Union Version

Akamwuliza babaye, Amepatwa na haya tangu lini? Akasema, Tangu utoto.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Amepatwa na mambo hayo tangu lini?” Naye akamjibu, “Tangu utoto wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Amepatwa na mambo hayo tangu lini?” Naye akamjibu, “Tangu utoto wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Amepatwa na mambo hayo tangu lini?” Naye akamjibu, “Tangu utoto wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akamuuliza baba yake, “Mwanao amekuwa katika hali hii tangu lini?” Akamjibu, “Tangu utoto wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akamuuliza baba yake, “Mwanao amekuwa katika hali hii tangu lini?” Akamjibu, “Tangu utoto wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamwuliza babaye, Amepatwa na haya tangu lini? Akasema, Tangu utoto.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 9:21
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.


Lakini mwanadamu huzaliwa ili apate shida, Kama cheche za moto zirukavyo juu.


Tazama, nikazaliwa nikiwa na hatia; Mama yangu akanichukua mimba nikiwa na dhambi.


Na mwanamke mmoja mwenye kutoka damu muda wa miaka kumi na miwili,


Wakamleta kwake; hata alipomwona, mara yule pepo alimtia kifafa; naye akaanguka chini, akagaa-gaa, akitokwa na povu.


Na mara nyingi amemtupa katika moto, na katika maji, amwangamize; lakini ukiweza neno lolote, utuhurumie, na kutusaidia.


Na huyu mwanamke, aliye wa uzao wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga miaka kumi na minane hii, haikupasa afunguliwe kifungo hiki siku ya sabato?


Na mwanamke mmoja, ambaye ametokwa na damu muda wa miaka kumi na miwili, [aliyekuwa amegharimiwa mali zake zote kwa kuwapa waganga] asipate kuponywa na mtu yeyote,


Na alipokuwa akipita alimwona mtu, kipofu tangu kuzaliwa.


Na huko Listra palikuwa na mtu mmoja, asiyeweza kutumia miguu yake na aliyekuwa kiwete tangu kuzaliwa kwake.


Na mtu mmoja aliyekuwa kiwete toka tumboni mwa mamaye alichukuliwa na watu, ambaye walimweka kila siku katika mlango wa hekalu uitwao Mzuri, ili aombe sadaka kwa watu waingiao ndani ya hekalu.


maana umri wake yule mtu aliyefanyiwa ishara hii ya kuponya ulipita miaka arubaini.


Akamwona mtu mmoja huko, jina lake Ainea, mtu huyo alikuwa amelala kitandani miaka minane; maana alikuwa amepooza.