Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 8:21 - Swahili Revised Union Version

Akawaambia, Hamjafahamu bado?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, akawaambia, “Na bado hamjaelewa?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, akawaambia, “Na bado hamjaelewa?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, akawaambia, “Na bado hamjaelewa?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo akawauliza, “Je, bado hamwelewi?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo akawauliza, “Je, bado hamwelewi?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaambia, Hamjafahamu bado?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 8:21
10 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi wajinga miongoni mwa watu, fikirini; Enyi wapumbavu, lini mtakapopata akili?


kwa maana hawakufahamu habari za ile mikate, lakini mioyo yao ilikuwa mizito.


Akapiga kite rohoni mwake, akasema, Mbona kizazi hiki chatafuta ishara? Amin, nawaambieni, Hakitapewa ishara kizazi hiki.


Naye Yesu akatambua, akawaambia, Mbona mnabishana kwa sababu hamna mikate? Hamfahamu bado, wala hamjaelewa? Je! Mioyo yenu ni mizito?


Wakafika Bethsaida, wakamletea kipofu, wakamsihi amguse.


Akawajibu, akasema, Enyi kizazi kisichoamini, nikae nanyi hadi lini? Nichukuliane nanyi hadi lini? Mleteni kwangu.


Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuoneshe Baba?


Tumieni akili kama ipasavyo, wala msitende dhambi; kwa maana wengine hawamjui Mungu. Ninanena hayo niwafedheheshe.


Nasema hayo nipate kuwatahayarisha. Je! Ndivyo, kwamba kwenu hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima, awezaye kukata maneno ya ndugu zake?