Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 8:16 - Swahili Revised Union Version

Wakabishana wao kwa wao, kwa kuwa hawana mikate.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakajadiliana wao kwa wao, na kusema, “Anasema hivi kwa sababu hatukuleta mikate.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakajadiliana wao kwa wao, na kusema, “Anasema hivi kwa sababu hatukuleta mikate.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakabishana wao kwa wao, kwa kuwa hawana mikate.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 8:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaagiza, akasema, Angalieni, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.


Naye Yesu akatambua, akawaambia, Mbona mnabishana kwa sababu hamna mikate? Hamfahamu bado, wala hamjaelewa? Je! Mioyo yenu ni mizito?


Wakaulizana wao kwa wao, wakisema, Kama tukisema ulitoka mbinguni, atasema, Basi, mbona hamkumwamini?


Wakaanza kuhojiana, ni nani atakayekuwa mkubwa miongoni mwao.