Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 20:5 - Swahili Revised Union Version

5 Wakaulizana wao kwa wao, wakisema, Kama tukisema ulitoka mbinguni, atasema, Basi, mbona hamkumwamini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Lakini wao wakajadiliana hivi: “Tukisema yalitoka kwa Mungu, yeye atatuuliza: ‘Mbona hamkumsadiki?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Lakini wao wakajadiliana hivi: “Tukisema yalitoka kwa Mungu, yeye atatuuliza: ‘Mbona hamkumsadiki?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Lakini wao wakajadiliana hivi: “Tukisema yalitoka kwa Mungu, yeye atatuuliza: ‘Mbona hamkumsadiki?’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Wakahojiana wao kwa wao na kusema, “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Mbona hamkumwamini?’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Wakahojiana wao kwa wao wakisema, “Kama tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Mbona hamkumwamini?’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Wakaulizana wao kwa wao, wakisema, Kama tukisema ulitoka mbinguni, atasema, Basi, mbona hamkumwamini?

Tazama sura Nakili




Luka 20:5
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.


Ubatizo wa Yohana ulitoka wapi? Ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Wakahojiana wao kwa wao, wakisema, Tukisema, Ulitoka mbinguni, atatuambia, Mbona basi hamkumwamini?


Ubatizo wa Yohana, je! Ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?


Na tukisema ulitoka kwa wanadamu, watu wote watatupiga kwa mawe, kwa kuwa wamemkubali Yohana kuwa ni nabii.


Huyu ndiye niliyenena habari zake ya kwamba, Yuaja mtu nyuma yangu, ambaye amekuwa mbele yangu; kwa maana alikuwa kabla yangu.


Nami nimeona, tena nimeshuhudia ya kuwa huyu ni Mwana wa Mungu.


Wakamwendea Yohana, wakamwambia, Rabi, yeye aliyekuwa pamoja nawe ng'ambo ya Yordani, yeye uliyemshuhudia, tazama, huyo anabatiza na watu wote wanamwendea.


Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.


Naye Yohana alipokuwa akimaliza mwendo wake alinena, Mnadhani mimi ni nani? Mimi siye. Lakini, angalieni, anakuja mmoja nyuma yangu ambaye mimi sistahili kumlegezea viatu vya miguu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo