Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 20:4 - Swahili Revised Union Version

4 Ubatizo wa Yohana, je! Ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Je, ubatizo wa Yahya ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Je, ubatizo wa Yahya ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Ubatizo wa Yohana, je! Ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?

Tazama sura Nakili




Luka 20:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;


Akajibu akawaambia, Nami nitawauliza ninyi neno moja; niambieni,


Wakaulizana wao kwa wao, wakisema, Kama tukisema ulitoka mbinguni, atasema, Basi, mbona hamkumwamini?


Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo