Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 6:9 - Swahili Revised Union Version

lakini wajifungie viatu; akasema, Msivae kanzu mbili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Vaeni viatu lakini msichukue koti la ziada.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Vaeni viatu lakini msichukue koti la ziada.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Vaeni viatu lakini msichukue koti la ziada.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Vaeni viatu, lakini msivae nguo ya ziada.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Vaeni viatu, lakini msivae nguo ya ziada.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

lakini wajifungie viatu; akasema, Msivae kanzu mbili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 6:9
6 Marejeleo ya Msalaba  

wala mkoba wa safari, wala kanzu mbili, wala viatu, wala fimbo; maana mfanyakazi astahili posho yake.


Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.


Akawaambia, Mahali popote mtakapoingia katika nyumba, kaeni humo hadi mtakapotoka mahali pale.


akawakataza wasichukue kitu cha njiani isipokuwa fimbo tu; wala mkate, wala mkoba, wala pesa za kibindoni;


Malaika akamwambia, Jifunge, kavae viatu vyako. Akafanya hivyo. Kisha akamwambia, Jivike nguo yako, ukanifuate.


na kama viatu vilivyofungiwa miguuni mwenu muwe tayari kutangaza Injili ya amani;