Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 6:51 - Swahili Revised Union Version

Akapanda mle katika mashua walimo; upepo ukakoma; wakashangaa sana mioyoni mwao;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akapanda mashuani walimokuwa, na upepo ukatulia. Nao wakashangaa sana,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akapanda mashuani walimokuwa, na upepo ukatulia. Nao wakashangaa sana,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akapanda mashuani walimokuwa, na upepo ukatulia. Nao wakashangaa sana,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akapanda ndani ya mashua nao, na ule upepo ukakoma! Wakashangaa kabisa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akapanda ndani ya mashua nao, na ule upepo ukakoma! Wakashangaa kabisa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akapanda mle katika mashua walimo; upepo ukakoma; wakashangaa sana mioyoni mwao;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 6:51
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa yeyote katika Israeli.


Wakashangaa wote, hata wakaulizana, wakisema, Nini hii? Ni elimu mpya! Maana kwa uweza awaamuru hata pepo wachafu, nao wamtii!


Mara akaondoka, akajitwika godoro lake, akatoka mbele yao wote; hata wakastaajabu wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Hatujawahi kuona jambo kama hili kamwe.


Akaamka, akaukemea upepo, akaiambia bahari, Nyamaza, utulie. Upepo ukakoma, kukawa shwari kuu.


Wakaingiwa na hofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, basi, hata upepo na bahari humtii?


Mara akasimama yule kijana, akaenda; maana alikuwa amepata umri wa miaka kumi na miwili. Mara wakashangaa mshangao mkuu.


Wakaenda zao faragha mashuani, mahali pasipokuwa na watu.


wakashangaa mno kupita kiasi, wakinena, Ametenda mambo yote vema; viziwi awafanya wasikie, na bubu waseme.


Basi wakataka kumpokea katika mashua; na mara hiyo mashua ikaifikia nchi waliyokuwa wakiiendea.