Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 6:36 - Swahili Revised Union Version

uwaage watu hawa, ili waende zao mashambani na vijijini kandokando, wakajinunulie chakula.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Afadhali uwaage watu waende mashambani na katika vijiji vya jirani, wanunue chakula.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Afadhali uwaage watu waende mashambani na katika vijiji vya jirani, wanunue chakula.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Afadhali uwaage watu waende mashambani na katika vijiji vya jirani, wanunue chakula.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Waage watu ili waende mashambani na vijijini jirani, wakajinunulie chakula.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Waage watu ili waende mashambani na vijijini jirani, wakajinunulie chakula.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

uwaage watu hawa, ili waende zao mashambani na vijijini kandokando, wakajinunulie chakula.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 6:36
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa kuwa anaendelea kutupigia makelele nyuma yetu.


Petro akamchukua, akaanza kumkemea, akisema, La hasha! Bwana, hayo hayatakupata.


Jamaa zake walipopata habari wakatoka kwenda kumkamata; maana walisema, Amerukwa na akili.


Wanafunzi wake wakamwambia, Je! Wawaona makutano wanavyokusongasonga, nawe wasema, Ni nani aliyenigusa?


Hata zilipopita saa nyingi za mchana, wanafunzi wake walimwendea, wakasema, Mahali hapa ni nyika tupu, na sasa kunakuchwa;


Akajibu, akawaambia, Wapeni ninyi chakula. Wakamwambia, Je! Twende tukanunue mikate ya dinari mia mbili ili tuwape kula?