Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 5:31 - Swahili Revised Union Version

31 Wanafunzi wake wakamwambia, Je! Wawaona makutano wanavyokusongasonga, nawe wasema, Ni nani aliyenigusa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Wanafunzi wake wakamjibu, “Unaona jinsi watu wanavyokusonga; mbona unauliza nani aliyekugusa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Wanafunzi wake wakamjibu, “Unaona jinsi watu wanavyokusonga; mbona unauliza nani aliyekugusa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Wanafunzi wake wakamjibu, “Unaona jinsi watu wanavyokusonga; mbona unauliza nani aliyekugusa?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Wanafunzi wake wakamjibu, “Unaona jinsi watu wanavyokusonga. Wawezaje kuuliza, ‘Ni nani aliyenigusa?’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Wanafunzi wake wakamjibu, “Unaona jinsi umati wa watu unavyokusonga. Wawezaje kuuliza, ‘Ni nani aliyenigusa?’ ”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Wanafunzi wake wakamwambia, Je! Wawaona makutano wanavyokusongasonga, nawe wasema, Ni nani aliyenigusa?

Tazama sura Nakili




Marko 5:31
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akaenda pamoja naye; mkutano mkuu wakamfuata, wakimsongasonga.


Mara Yesu, huku akifahamu nafsini mwake kwamba nguvu zimemtoka, akageuka kati ya mkutano, akasema, Ni nani aliyenigusa mavazi yangu?


Akatazama pande zote ili amwone yule aliyelitenda neno hilo.


Yesu akasema, Ni nani aliyenigusa? Basi, watu wote walipokana, Petro alimwambia, Bwana mkubwa, makutano haya wanakuzunguka na kukusonga.


Na jua likaanza kushuka; wakamwendea wale Kumi na Wawili, wakamwambia, Uage mkutano, ili waende katika vijiji na mashamba ya kandokando wapate mahali pa kulala na vyakula, maana hapa tulipo ni nyika tupu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo