Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 6:28 - Swahili Revised Union Version

akakileta kichwa chake katika kombe, akampa yule kijana, naye yule kijana akampa mamaye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

akakileta katika sinia, akampa msichana naye msichana akampa mama yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

akakileta katika sinia, akampa msichana naye msichana akampa mama yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

akakileta katika sinia, akampa msichana naye msichana akampa mama yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

akakileta kichwa chake kwenye sinia na kumpa yule msichana, naye yule msichana akampa mama yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

akakileta kichwa chake kwenye sinia na kumpa yule msichana, naye yule msichana akampa mama yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akakileta kichwa chake katika kombe, akampa yule kijana, naye yule kijana akampa mamaye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 6:28
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi walipoingia katika ile nyumba, alipokuwa amelala kitandani mwake, katika chumba chake cha kulala, wakampiga, wakamwua, wakamkata kichwa, wakachukua kichwa chake, wakaenda zao kwa njia ya Araba usiku kucha.


Akaja mjumbe, akamwambia, akasema, Wamevileta vile vichwa vya wana wa mfalme. Akasema, Viwekeni marundo mawili penye maingilio ya lango hata asubuhi.


Naye, huku akichochewa na mamaye, akasema, Nipe hapa katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji.


Mara mfalme akatuma askari, akaamuru kuleta kichwa chake. Basi akaenda, akamkata kichwa mle gerezani,


Wanafunzi wake waliposikia habari, walikwenda, wakauchukua mwili wake, wakauzika kaburini.