Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 4:4 - Swahili Revised Union Version

ikawa alipokuwa akipanda, mbegu nyingine ilianguka kando ya njia, wakaja ndege wakaila.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alipokuwa akipanda mbegu, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alipokuwa akipanda mbegu, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alipokuwa akipanda mbegu, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia, nao ndege wakaja na kuzila.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia, nao ndege wakaja na kuzila.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ikawa alipokuwa akipanda, mbegu nyingine ilianguka kando ya njia, wakaja ndege wakaila.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 4:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na tai walipotua juu ya mizoga Abramu akawafukuza.


Kila mtu alisikiapo neno la ufalme bila kulielewa, huja yule mwovu, akalinyakua lililopandwa moyoni mwake. Huyo ndiye aliyepandwa karibu na njia.


Na alipokuwa akipanda, mbegu nyingine zilianguka karibu na njia, ndege wakaja wakazila;


Hawa ndio walio kando ya njia lipandwapo neno; nao, wakiisha kusikia, mara huja Shetani, akaliondoa lile neno lililopandwa mioyoni mwao.


Sikilizeni; Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda;


Nyingine ikaanguka penye mwamba, pasipokuwa na udongo mwingi; mara ikaota kwa kuwa na udongo haba;


Wale wa karibu na njia ndio wasikiao, kisha huja Ibilisi akaliondoa hilo neno mioyoni mwao, wasije wakaamini na kuokoka.


Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake; naye alipokuwa akizipanda, nyingine zilianguka karibu na njia, zikakanyagwa, ndege wa angani wakazila.