Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 4:30 - Swahili Revised Union Version

Akasema, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? Au tuutie katika mfano gani?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena, Yesu akasema, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena, Yesu akasema, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena, Yesu akasema, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawaambia tena, “Tuufananishe ufalme wa Mungu na nini? Au tutumie mfano gani ili kuueleza?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawaambia tena, “Tuufananishe Ufalme wa Mwenyezi Mungu na nini? Au tutumie mfano gani ili kuueleza?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? Au tuutie katika mfano gani?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 4:30
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nikushuhudie nini? Nikufananishe na nini, Ee Binti Yerusalemu? Nikulinganishe na nini, nipate kukufariji, Ee bikira binti Sayuni? Kwa maana uvunjifu wako ni mkuu kama bahari, Ni nani awezaye kukuponya?


Lakini nitakifananisha na nini kizazi hiki? Kimefanana na watoto wanaokaa sokoni, wanaowaita wenzao, wakisema,


Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika shamba lake;


Ni kama punje ya haradali, ambayo ipandwapo katika nchi, ingawa ni ndogo kuliko mbegu zote zilizo katika nchi,