Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 4:22 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana hakuna neno lililositirika, ila kusudi lije kudhihirika; wala hakuna lililofichwa, ila kusudi lije kutokea wazi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, kila kilichofichwa kitafichuliwa, na kila kilichofunikwa kitafunuliwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, kila kilichofichwa kitafichuliwa, na kila kilichofunikwa kitafunuliwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, kila kilichofichwa kitafichuliwa, na kila kilichofunikwa kitafunuliwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa hakuna kilichofichika ambacho hakitafunuliwa, wala hakuna jambo lolote la siri ambalo halitaletwa nuruni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa hakuna kilichofichika ambacho hakitafunuliwa, wala hakuna jambo lolote la siri ambalo halitaletwa nuruni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana hakuna neno lililositirika, ila kusudi lije kudhihirika; wala hakuna lililofichwa, ila kusudi lije kutokea wazi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 4:22
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya.


Kwa maana hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi.


Kwa maana sikujiepusha na kuwahubiria habari ya kusudi lote la Mungu.


maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo tuliyoyaona na kuyasikia.


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.