Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 4:2 - Swahili Revised Union Version

Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, akawaambia katika mafundisho yake,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, naye katika mafundisho yake akasema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, naye katika mafundisho yake akasema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, akawaambia katika mafundisho yake,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 4:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nitatega sikio langu nisikie mithali, Na kufumbua fumbo langu kwa kinubi.


Nitafumbua kinywa changu kwa mithali, Niyatamke mafumbo ya kale.


Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?


Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.


Ikawa, Yesu alipoyamaliza maneno hayo, makutano walishangaa mno kwa mafundisho yake;


Akaondoka huko akafika katika eneo la Yudea, na ng'ambo ya Yordani; makutano mengi wakakutanika tena wakamwendea; akawafundisha tena kama alivyozoea.


Akaanza kusema nao kwa mifano; Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu, akalizungushia ua, akachimba shimo la shinikizo, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.


Akawaambia katika mafundisho yake, Jihadharini na waandishi, wapendao kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa masokoni,


Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumtoa Shetani?


Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu, bali kwa wale walio nje, yote hufanywa kwa mifano,


Sikilizeni; Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda;


Basi Kuhani Mkuu akamwuliza Yesu kuhusu wanafunzi wake, na kuhusu mafundisho yake.