Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 18:19 - Swahili Revised Union Version

19 Basi Kuhani Mkuu akamwuliza Yesu kuhusu wanafunzi wake, na kuhusu mafundisho yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Basi, kuhani mkuu akamwuliza Yesu juu ya wanafunzi wake na mafundisho yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Basi, kuhani mkuu akamwuliza Yesu juu ya wanafunzi wake na mafundisho yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Basi, kuhani mkuu akamwuliza Yesu juu ya wanafunzi wake na mafundisho yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Wakati huo kuhani mkuu akawa anamuuliza Isa kuhusu wanafunzi wake na mafundisho yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Wakati huo kuhani mkuu akawa anamuuliza Isa kuhusu wanafunzi wake na mafundisho yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Basi Kuhani Mkuu akamwuliza Yesu kuhusu wanafunzi wake, na kuhusu mafundisho yake.

Tazama sura Nakili




Yohana 18:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nao waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa, Kuhani Mkuu, walikokuwa wamekutanika waandishi na wazee.


Nao wakamchukua Yesu kwa Kuhani Mkuu; wakamkusanyikia wote, wakuu wa makuhani na wazee na waandishi.


Wakamviziavizia, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wamnase katika maneno yake, wapate kumtia katika enzi na mamlaka ya mtawala.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo