Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 4:13 - Swahili Revised Union Version

Akawaambia, Hamjui mfano huu? Basi mifano yote mtaitambuaje?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yesu akawauliza, “Je, nyinyi hamwelewi mfano huu? Mtawezaje basi, kuelewa mfano wowote?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yesu akawauliza, “Je, nyinyi hamwelewi mfano huu? Mtawezaje basi, kuelewa mfano wowote?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yesu akawauliza, “Je, nyinyi hamwelewi mfano huu? Mtawezaje basi, kuelewa mfano wowote?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Isa akawauliza, “Hamwelewi maana ya mfano huu? Basi mtaelewaje mifano mingine?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Isa akawauliza, “Hamwelewi maana ya mfano huu? Basi mtaelewaje mifano mingine?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaambia, Hamjui mfano huu? Basi mifano yote mtaitambuaje?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 4:13
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.


Mpanzi huyo hulipanda neno.


Akawaambia, Enyi msiofahamu, wenye mioyo mizito ya kuamini yote waliyoyasema manabii!


Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.