Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 3:19 - Swahili Revised Union Version

na Yuda Iskarioti, ndiye aliyemsaliti. Kisha akaingia nyumbani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na Yuda Iskariote aliyemsaliti Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na Yuda Iskariote aliyemsaliti Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Yuda Iskarioti, ndiye aliyemsaliti. Kisha akaingia nyumbani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 3:19
13 Marejeleo ya Msalaba  

Simoni Mkananayo, na Yuda Iskarioti, naye ndiye aliyemsaliti.


Basi alipokuwa katika kusema, tazama, Yuda, mmoja wa wale Kumi na Wawili akaja, na pamoja naye kundi kubwa wenye panga na marungu, wametoka kwa wakuu wa makuhani na wazee wa watu.


na Andrea, na Filipo, na Bartholomayo, na Mathayo, na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Thadayo, na Simoni Mkananayo,


Mkutano wakakusanyika tena, hata wao wenyewe wasiweze hata kula mkate.


Wakafika Kapernaumu; hata alipokuwamo nyumbani, akawauliza, Mlishindania nini njiani?


Hata wakati wa chakula cha jioni; naye Ibilisi amekwisha kumtia Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti, moyo wa kumsaliti;


Lakini kuna wengine miongoni mwenu wasioamini. Kwa maana Yesu alijua tangu mwanzo ni nani wasioamini, naye ni nani atakayemsaliti.


Alimnena Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti; maana huyo ndiye atakayemsaliti; naye ni mmojawapo wa wale Kumi na Wawili.