Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 2:13 - Swahili Revised Union Version

Akatoka tena, akaenda kando ya bahari, mkutano wote ukamwendea, akawafundisha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu alikwenda tena kando ya ziwa. Umati wa watu ukamwendea, naye akaanza kuwafundisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu alikwenda tena kando ya ziwa. Umati wa watu ukamwendea, naye akaanza kuwafundisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu alikwenda tena kando ya ziwa. Umati wa watu ukamwendea, naye akaanza kuwafundisha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akaenda tena kandokando ya Bahari ya Galilaya. Umati mkubwa wa watu wakamfuata, naye akaanza kuwafundisha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akaenda tena kandokando ya Bahari ya Galilaya. Umati mkubwa wa watu ukamfuata, naye akaanza kuwafundisha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akatoka tena, akaenda kando ya bahari, mkutano wote ukamwendea, akawafundisha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 2:13
11 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ile Yesu akatoka nyumbani, akaketi kando ya bahari.


Naye Yesu alipokuwa akipita kutoka huko aliona mtu ameketi forodhani, aitwaye Mathayo, akamwambia, Nifuate. Akaondoka, akamfuata.


Lakini akatoka, akaanza kuhubiri maneno mengi, na kulitangaza lile neno, hata Yesu asiweze tena kuingia mjini waziwazi; bali alikaa nje mahali pasipokuwa na watu, wakamwendea kutoka kila upande.


Akaondoka huko akafika katika eneo la Yudea, na ng'ambo ya Yordani; makutano mengi wakakutanika tena wakamwendea; akawafundisha tena kama alivyozoea.


Wakakusanyika watu wengi, isibaki nafasi hata mlangoni; akawa akisema nao neno lake.


Akaanza kufundisha tena kando ya ziwa. Kundi kubwa sana la watu wakamkusanyikia, hata yeye akapanda katika mashua, akakaa ziwani, watu wote walikuwa katika nchi kavu kando ya ziwa.


wasione la kutenda, kwa kuwa watu wote walikuwa wakiandamana naye, wakimsikiliza.


Na watu wote walikuwa wakiamka mapema waende hekaluni ili kumsikiliza.