Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:37 - Swahili Revised Union Version

Naye Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akapaza sauti kubwa, akakata roho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akapaza sauti kubwa, akakata roho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akapaza sauti kubwa, akakata roho.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Isa akatoa sauti kuu, akakata roho.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Isa akatoa sauti kuu, akakata roho.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:37
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yesu akiisha kupaza sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake.


Na mmoja akaenda mbio, akajaza sifongo siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha, akisema, Acheni, na tuone kwamba Eliya anakuja kumteremsha.


Yesu akalia kwa sauti kuu, akasema, Ee Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu.


Basi Yesu alipokwisha kuipokea ile siki, alisema, Imekwisha. Akainama kichwa, akaisalimu roho yake.


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;