Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:17 - Swahili Revised Union Version

Wakamvika vazi la rangi ya zambarau, wakasokota taji la miiba, wakamtia kichwani;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakamvika vazi la rangi ya zambarau, wakasokota taji ya miiba, wakamwekea kichwani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakamvika vazi la rangi ya zambarau, wakasokota taji ya miiba, wakamwekea kichwani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakamvika vazi la rangi ya zambarau, wakasokota taji ya miiba, wakamwekea kichwani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamvalisha Isa joho la zambarau, wakasokota taji la miiba, wakamvika kichwani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamvalisha Isa joho la zambarau, wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamvika vazi la rangi ya zambarau, wakasokota taji la miiba, wakamtia kichwani;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nao askari wakamchukua ndani ya behewa, ndiyo Praitorio (yaani, makao makuu ya mtawala), wakakusanya pamoja kikosi kizima.


wakaanza kumsalimu, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!


Basi Herode akamdhalilisha, pamoja na askari wake, akamdhihaki, na kumvika mavazi mazuri; kisha akamrudisha kwa Pilato.