Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 14:39 - Swahili Revised Union Version

Akaenda zake tena, akaomba, akisema neno lilo hilo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akaenda tena kuomba, akisema maneno yale yale.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akaenda tena kuomba, akisema maneno yale yale.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaenda zake tena, akaomba, akisema neno lilo hilo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 14:39
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.


Kesheni na kuomba, msije mkaingia majaribuni, roho i radhi ila mwili ni dhaifu.


Akaja tena akawakuta wamelala, maana macho yao yamekuwa mazito, wala hawakujua la kumjibu.


Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


Kwa ajili ya kitu hicho nilimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke.


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;