Marko 14:38 - Swahili Revised Union Version38 Kesheni na kuomba, msije mkaingia majaribuni, roho i radhi ila mwili ni dhaifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 Kisha akawaambia, “Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 Kisha akawaambia, “Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 Kisha akawaambia, “Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 Kesheni na mwombe, msije mkaingia majaribuni. Roho iko radhi, lakini mwili ni mdhaifu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 Kesheni na mwombe, msije mkaingia majaribuni. Roho iko radhi, lakini mwili ni mdhaifu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI38 Kesheni na kuomba, msije mkaingia majaribuni, roho i radhi ila mwili ni dhaifu. Tazama sura |