Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:38 - Swahili Revised Union Version

38 Kesheni na kuomba, msije mkaingia majaribuni, roho i radhi ila mwili ni dhaifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Kisha akawaambia, “Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Kisha akawaambia, “Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Kisha akawaambia, “Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho inataka, lakini mwili ni dhaifu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Kesheni na mwombe, msije mkaingia majaribuni. Roho iko radhi, lakini mwili ni mdhaifu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Kesheni na mwombe, msije mkaingia majaribuni. Roho iko radhi, lakini mwili ni mdhaifu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Kesheni na kuomba, msije mkaingia majaribuni, roho i radhi ila mwili ni dhaifu.

Tazama sura Nakili




Marko 14:38
17 Marejeleo ya Msalaba  

Kesheni basi; kwa maana hamjui ni siku ipi atakayokuja Bwana wenu.


Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa.


Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho iko radhi, lakini mwili ni dhaifu.


Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.]


Akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa mkeshe.


Akaja akawakuta wamelala usingizi, akamwambia Petro, Je! Simoni, umelala? Hukuweza kukesha saa moja?


Akaenda zake tena, akaomba, akisema neno lilo hilo.


Basi, kesheni ninyi kila wakati, mkiomba, ili mpate kuokoka katika haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.


Alipofika mahali pale aliwaambia, Ombeni kwamba msiingie majaribuni.


Akawaambia, Mbona mmelala usingizi? Ondokeni, mkaombe, msije mkaingia majaribuni.


Kesheni, simameni imara katika imani, iweni na ujasiri, mkawe hodari.


Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili; kwa maana hizi zimepingana, hata hamwezi kufanya mnayotaka.


Basi, wapendwa wangu, kama vile mlivyotii sikuzote, si wakati mimi nilipokuwapo tu, bali sasa zaidi sana mimi nisipokuwapo, utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka.


Muwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka zunguka, akitafuta mtu ammeze.


Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, mimi nami nitakulinda, utoke katika saa ya kuharibiwa iliyo tayari kuujilia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya nchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo