Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:39 - Swahili Revised Union Version

39 Akaenda zake tena, akaomba, akisema neno lilo hilo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Akaenda tena kuomba, akisema maneno yale yale.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Akaenda tena kuomba, akisema maneno yale yale.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

39 Akaenda zake tena, akaomba, akisema neno lilo hilo.

Tazama sura Nakili




Marko 14:39
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.


Kesheni na kuomba, msije mkaingia majaribuni, roho i radhi ila mwili ni dhaifu.


Akaja tena akawakuta wamelala, maana macho yao yamekuwa mazito, wala hawakujua la kumjibu.


Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


Kwa ajili ya kitu hicho nilimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke.


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo