Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 14:23 - Swahili Revised Union Version

Akatwaa kikombe, akashukuru, akawapa; wakakinywea wote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akatwaa kikombe cha divai, akamshukuru Mungu, akawapa; wote wakanywa kutoka kikombe hicho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akatwaa kikombe cha divai, akamshukuru Mungu, akawapa; wote wakanywa kutoka kikombe hicho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akatwaa kikombe cha divai, akamshukuru Mungu, akawapa; wote wakanywa kutoka kikombe hicho.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, nao wote wakanywa kutoka humo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, nao wote wakanywa kutoka humo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akatwaa kikombe, akashukuru, akawapa; wakakinywea wote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 14:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, Kuyweni nyote katika hiki;


Nao walipokuwa wakila, alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa, akasema, Twaeni; huu ndio mwili wangu.


Akawaambia, Hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi.


Akapokea kikombe, akashukuru, akasema, Twaeni hiki, mgawanye ninyi kwa ninyi;


Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula, hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu.


Kikombe kile cha baraka tukibarikicho, je! Si ushirika wa damu ya Kristo? Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?