Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:23 - Swahili Revised Union Version

23 Akatwaa kikombe, akashukuru, akawapa; wakakinywea wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Kisha akatwaa kikombe cha divai, akamshukuru Mungu, akawapa; wote wakanywa kutoka kikombe hicho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Kisha akatwaa kikombe cha divai, akamshukuru Mungu, akawapa; wote wakanywa kutoka kikombe hicho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Kisha akatwaa kikombe cha divai, akamshukuru Mungu, akawapa; wote wakanywa kutoka kikombe hicho.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, nao wote wakanywa kutoka humo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, nao wote wakanywa kutoka humo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Akatwaa kikombe, akashukuru, akawapa; wakakinywea wote.

Tazama sura Nakili




Marko 14:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, Kuyweni nyote katika hiki;


Nao walipokuwa wakila, alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa, akasema, Twaeni; huu ndio mwili wangu.


Akawaambia, Hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi.


Akapokea kikombe, akashukuru, akasema, Twaeni hiki, mgawanye ninyi kwa ninyi;


Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula, hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu.


Kikombe kile cha baraka tukibarikicho, je! Si ushirika wa damu ya Kristo? Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo