Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 12:21 - Swahili Revised Union Version

Wa pili naye akamtwaa akafa, wala yeye hakuacha mzawa. Na wa tatu kadhalika;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndugu wa pili akamwoa huyo mjane, naye pia akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu hali kadhalika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndugu wa pili akamwoa huyo mjane, naye pia akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu hali kadhalika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndugu wa pili akamwoa huyo mjane, naye pia akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu hali kadhalika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wa pili akamwoa yule mjane, lakini naye akafa bila kuacha mtoto yeyote. Ikawa vivyo hivyo kwa yule wa tatu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wa pili akamwoa yule mjane, lakini naye akafa bila kuacha mtoto yeyote. Ikawa vivyo hivyo kwa yule wa tatu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wa pili naye akamtwaa akafa, wala yeye hakuacha mzao. Na wa tatu kadhalika;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 12:21
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kulikuwa na ndugu saba, wa kwanza akatwaa mke, akafa, asiache mzawa.


hata na wote saba, wasiache mzawa. Mwisho wa wote yule mwanamke akafa naye.