Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 12:20 - Swahili Revised Union Version

Basi kulikuwa na ndugu saba, wa kwanza akatwaa mke, akafa, asiache mzawa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi kulikuwa na ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa mke, naye akafa bila kuacha mtoto yeyote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi palikuwepo ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa mke, naye akafa pasipo kuwa na mtoto yeyote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi kulikuwa na ndugu saba, wa kwanza akatwaa mke, akafa, asiache mzao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 12:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mwalimu, Musa alituandikia ya kwamba ndugu ya mtu akifa, akamwacha mkewe wala hana mtoto, ndugu yake amtwae yule mkewe akampatie ndugu yake mzao.


Wa pili naye akamtwaa akafa, wala yeye hakuacha mzawa. Na wa tatu kadhalika;