Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 11:5 - Swahili Revised Union Version

Baadhi ya watu waliosimama huko wakawaambia, Mnafanya nini kumfungua mwanapunda?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua huyo mwanapunda?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua huyo mwanapunda?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua huyo mwanapunda?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipokuwa wanamfungua, watu waliokuwa wamesimama karibu wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua huyo mwana-punda?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipokuwa wanamfungua, watu waliokuwa wamesimama karibu wakawauliza, “Mna maana gani mnapomfungua huyo mwana-punda?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Baadhi ya watu waliosimama huko wakawaambia, Mnafanya nini kumfungua mwanapunda?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 11:5
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nendeni katika kijiji kile kinachowakabili, na mara mtaona punda amefungwa, na mwanapunda pamoja naye; wafungueni mniletee.


Wakaenda zao, wakamwona mwanapunda amefungwa penye mlango, nje katika njia kuu, wakamfungua.


Wakawaambia kama Yesu alivyowaagiza, nao wakawaruhusu.