Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 11:31 - Swahili Revised Union Version

Wakasemezana wao kwa wao, wakisema, Kama tukisema, Ulitoka mbinguni, atasema, Mbona, basi, hamkumwamini?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakaanza kujadiliana, “Tukisema, ‘Yalitoka mbinguni’, atatuuliza, ‘Basi, mbona hamkumsadiki?’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakaanza kujadiliana, “Tukisema, ‘Yalitoka mbinguni’, atatuuliza, ‘Basi, mbona hamkumsadiki?’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakaanza kujadiliana, “Tukisema, ‘Yalitoka mbinguni’, atatuuliza, ‘Basi, mbona hamkumsadiki?’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakahojiana wao kwa wao na kusema, “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Mbona hamkumwamini?’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakahojiana wao kwa wao, wakisema, “Kama tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Mbona hamkumwamini?’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakasemezana wao kwa wao, wakisema, Kama tukisema, Ulitoka mbinguni, atasema, Mbona, basi, hamkumwamini?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 11:31
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.


Ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Nijibuni.


Ila tukisema, Ulitoka kwa wanadamu – waliogopa watu; maana watu wote walimwona Yohana kuwa nabii halisi.


Yohana alimshuhudia, akapaza sauti yake akasema, Huyu ndiye niliyenena habari zake ya kwamba, Ajaye nyuma yangu amekuwa mbele yangu; kwa maana alikuwa kabla yangu.


Kesho yake alimwona Yesu akija kwake, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu!


Nami nimeona, tena nimeshuhudia ya kuwa huyu ni Mwana wa Mungu.


Akamtazama Yesu akitembea, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu!