Marko 11:30 - Swahili Revised Union Version30 Ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Nijibuni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka mbinguni ama kwa watu? Nijibuni.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka mbinguni ama kwa watu? Nijibuni.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka mbinguni ama kwa watu? Nijibuni.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Je, ubatizo wa Yahya ulitoka mbinguni au kwa wanadamu? Niambieni!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Niambieni, je, ubatizo wa Yahya ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI30 Ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Nijibuni. Tazama sura |