Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 11:30 - Swahili Revised Union Version

30 Ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Nijibuni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka mbinguni ama kwa watu? Nijibuni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka mbinguni ama kwa watu? Nijibuni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka mbinguni ama kwa watu? Nijibuni.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Je, ubatizo wa Yahya ulitoka mbinguni au kwa wanadamu? Niambieni!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Niambieni, je, ubatizo wa Yahya ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Nijibuni.

Tazama sura Nakili




Marko 11:30
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawaambia, Nitawauliza neno moja, nanyi mnijibu, kisha nitawaambia ni kwa mamlaka gani nayatenda haya.


Wakasemezana wao kwa wao, wakisema, Kama tukisema, Ulitoka mbinguni, atasema, Mbona, basi, hamkumwamini?


Lakini nawaambia, Eliya amekwisha kuja, nao wakamtenda yote waliyoyataka kama alivyoandikiwa.


Basi sasa nawaambia, Jiepusheni na watu hawa, waacheni; kwa kuwa shauri hili au kazi hii ikiwa imetoka kwa binadamu, itavunjwa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo