Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 11:12 - Swahili Revised Union Version

Siku iliyofuata walipokuwa wakitoka Bethania, aliona njaa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kesho yake, walipokuwa wanatoka Bethania, Yesu aliona njaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kesho yake, walipokuwa wanatoka Bethania, Yesu aliona njaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kesho yake, walipokuwa wanatoka Bethania, Yesu aliona njaa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kesho yake walipokuwa wakitoka Bethania, Isa alikuwa na njaa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kesho yake walipokuwa wakitoka Bethania, Isa alikuwa na njaa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku iliyofuata walipokuwa wakitoka Bethania, aliona njaa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 11:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akafunga siku arubaini mchana na usiku, mwishowe akaona njaa.


Akaona kwa mbali mtini wenye majani, akaenda ili labda aone kitu juu yake; na alipoufikia hakuona kitu ila majani; maana si wakati wa tini.


Na asubuhi walipokuwa wakipita, waliuona ule mtini umenyauka toka shinani.


akijaribiwa na Ibilisi. Na siku hizo alikuwa hali kitu; na zilipotimia, aliona njaa.


Baada ya hayo Yesu, hali akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika ili andiko litimizwe, akasema, Naona kiu.


Hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake katika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema, mwaminifu katika mambo ya Mungu, ili afanye kafara ya suluhu kwa dhambi za watu wake.