Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 10:8 - Swahili Revised Union Version

na hao wawili watakuwa mwili mmoja; hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

nao wawili watakuwa mwili mmoja. Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

nao wawili watakuwa mwili mmoja. Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

nao wawili watakuwa mwili mmoja. Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na hao wawili watakuwa mwili mmoja.’ Kwa hiyo hawatakuwa wawili tena, bali mwili mmoja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo hawatakuwa wawili tena, bali mwili mmoja.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na hao wawili watakuwa mwili mmoja; hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 10:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.


Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.


Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.


Vivyo hivyo imewapasa waume nao kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.