Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 10:8 - Swahili Revised Union Version

8 na hao wawili watakuwa mwili mmoja; hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 nao wawili watakuwa mwili mmoja. Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 nao wawili watakuwa mwili mmoja. Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 nao wawili watakuwa mwili mmoja. Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 na hao wawili watakuwa mwili mmoja.’ Kwa hiyo hawatakuwa wawili tena, bali mwili mmoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Kwa hiyo hawatakuwa wawili tena, bali mwili mmoja.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 na hao wawili watakuwa mwili mmoja; hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.

Tazama sura Nakili




Marko 10:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.


Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.


Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.


Vivyo hivyo imewapasa waume nao kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo