Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 10:12 - Swahili Revised Union Version

na mke, akimwacha mumewe na kuolewa na mtu mwingine, azini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa na mwingine anazini.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa na mwingine anazini.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa na mwingine anazini.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye mwanamke amwachaye mumewe na kuolewa na mume mwingine, anazini.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye mwanamke amwachaye mumewe na kuolewa na mume mwingine, anazini.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na mke, akimwacha mumewe na kuolewa na mtu mwingine, azini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 10:12
3 Marejeleo ya Msalaba  

lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa sababu ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.


lakini, ikiwa ameachana naye, na akae asiolewe, au apatane na mumewe; tena mume asimwache mkewe.


Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe.